Isaías 46

SWHONEN

1 Beli anasujudu hadi nchi, Nebo anainama;

2 Vinyago pamoja na wale wanaovibeba wanainama chini;

3 “Nisikilizeni mimi, ee nyumba ya Yakobo,

4 Hata mpaka wakati wa uzee wenu na mvi, Mimi ndiye,

5 “Mtanilinganisha na nani, au mtanihesabu kuwa sawa na nani?

6 Wengine humwaga dhahabu kutoka kwenye mifuko yao,

7 Huiinua mabegani na kuichukua;

8 “Kumbukeni hili, litieni akilini,

9 Kumbukeni mambo yaliyopita, yale ya zamani za kale;

10 Ni mimi nitangazaye mwisho tangu mwanzo,

11 Kutoka mashariki ninaita ndege awindaye;

12 Nisikilizeni, ninyi wenye mioyo migumu,

13 Ninaleta haki yangu karibu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado