1 Beli anasujudu hadi nchi, Nebo anainama;
2 Vinyago pamoja na wale wanaovibeba wanainama chini;
3 “Nisikilizeni mimi, ee nyumba ya Yakobo,
4 Hata mpaka wakati wa uzee wenu na mvi, Mimi ndiye,
5 “Mtanilinganisha na nani, au mtanihesabu kuwa sawa na nani?
6 Wengine humwaga dhahabu kutoka kwenye mifuko yao,
7 Huiinua mabegani na kuichukua;
8 “Kumbukeni hili, litieni akilini,
9 Kumbukeni mambo yaliyopita, yale ya zamani za kale;
10 Ni mimi nitangazaye mwisho tangu mwanzo,
11 Kutoka mashariki ninaita ndege awindaye;
12 Nisikilizeni, ninyi wenye mioyo migumu,
13 Ninaleta haki yangu karibu,