1 Neno kuhusu Dameski:
2 Miji ya Aroeri itaachwa
3 Mji wenye ngome utatoweka kutoka Efraimu,
4 “Katika siku ile utukufu wa Yakobo utafifia,
5 Itakuwa kama mvunaji akusanyavyo nafaka
6 Hata hivyo baadhi ya masazo yatabaki,
7 Katika siku ile watu watamwangalia Muumba wao,
8 Hawataziangalia tena madhabahu,
9 Katika siku ile miji yao iliyo imara, ambayo waliihama kwa sababu ya Waisraeli, itakuwa kama mahali palipoachwa pa vichaka na magugu. Nayo yote itakuwa ukiwa.
10 Mmemsahau Mungu Mwokozi wenu,
11 hata kama siku ile unapoipandikiza, unaifanya iote
12 Lo! Ghadhabu ya mataifa mengi,
13 Ingawa mataifa yanavuma kama ngurumo za maji yanayofanya mawimbi,
14 Wakati wa jioni, hofu ya ghafula!