1 “Wewe fanya maombolezo kuhusu wakuu wa Israeli
2 na useme:
3 Alimlea mmoja wa watoto wake,
4 Mataifa wakasikia habari zake,
5 “ ‘Mama yake alipongoja na kuona tumaini lake halitimiziki,
6 Alizungukazunguka miongoni mwa simba,
7 Akabomoa ngome zao
8 Kisha mataifa wakaja dhidi yake
9 Kwa kutumia ndoana wakamvutia kwenye tundu
10 “ ‘Mama yako alikuwa kama mzabibu
11 Matawi yake yalikuwa na nguvu,
12 Lakini ulingʼolewa kwa hasira kali
13 Sasa umepandwa jangwani
14 Moto ulienea kuanzia katika mmojawapo ya matawi yake makubwa