Ezequiel 19

SWHONEN

1 “Wewe fanya maombolezo kuhusu wakuu wa Israeli

2 na useme:

3 Alimlea mmoja wa watoto wake,

4 Mataifa wakasikia habari zake,

5 “ ‘Mama yake alipongoja na kuona tumaini lake halitimiziki,

6 Alizungukazunguka miongoni mwa simba,

7 Akabomoa ngome zao

8 Kisha mataifa wakaja dhidi yake

9 Kwa kutumia ndoana wakamvutia kwenye tundu

10 “ ‘Mama yako alikuwa kama mzabibu

11 Matawi yake yalikuwa na nguvu,

12 Lakini ulingʼolewa kwa hasira kali

13 Sasa umepandwa jangwani

14 Moto ulienea kuanzia katika mmojawapo ya matawi yake makubwa

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado