1 Baada ya haya nikaona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni, akiwa na mamlaka makuu na dunia ikamulikiwa na mngʼao wake.
2 Naye akalia kwa nguvu kwa sauti kubwa, akisema:
3 Kwa maana mataifa yote yamekunywa
4 Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema:
5 kwa kuwa dhambi zake zimelundikana hadi mbinguni,
6 Mtendee kama yeye alivyotenda;
7 Mpatie mateso na huzuni nyingi sawa na
8 Kwa hiyo mapigo yatampata kwa siku moja:
9 “Wafalme wa dunia waliozini naye na kushiriki anasa zake watakapoona moshi wa kuungua kwake, watamlilia na kumwombolezea.
10 Kwa hofu kubwa ya mateso yake, watasimama mbali na kulia na wakisema:
11 “Wafanyabiashara wa dunia watalia na kumwomboleza kwa sababu hakuna anunuaye bidhaa zao tena:
12 Bidhaa za dhahabu, za fedha, za vito vya thamani na vya lulu, kitani safi, nguo za rangi ya zambarau, hariri, nguo nyekundu, aina zote za miti ya udi, na vifaa vyote vya pembe za ndovu, vifaa vyote vya miti yenye thamani kuliko yote, shaba, chuma na marmar,
13 bidhaa za mdalasini, vikolezi, za uvumba, manemane, na uvumba wenye harufu nzuri, za divai, na mafuta ya zeituni, za unga mzuri na ngano; ngʼombe na kondoo; farasi na magari; na miili na roho za wanadamu.
14 “Watasema, ‘Yale matunda ambayo roho yako iliyatamani yamekoma. Utajiri wako wote na fahari yako vimetoweka, wala haviwezi kupatikana tena kamwe!’
15 Wale wafanyabiashara waliotajirika kwa bidhaa hizo kutoka kwake watasimama mbali naye kwa hofu kubwa ya mateso yanayompata. Watalia na kuomboleza wakipiga kelele wakisema:
16 “ ‘Ole! Ole, ee mji mkubwa,
17 Katika muda wa saa moja utajiri wote mkubwa
18 Watakapouona moshi wa kuungua kwake watalia wakisema, ‘Je, kulipata kuwako mji mkubwa kama huu?’
19 Nao watajirushia mavumbi vichwani mwao, huku wakilia na kuomboleza, wakisema:
20 Furahia kwa ajili yake, ee mbingu!
21 Kisha malaika mmoja mwenye nguvu akainua jiwe kubwa kama la kusagia akalitupa baharini akisema:
22 Nyimbo za wapiga vinubi na waimbaji,
23 Mwanga wa taa
24 Ndani yake ilionekana damu ya manabii na ya watakatifu