1 Hili ndilo alilonionyesha Bwana Mwenyezi katika maono: kikapu cha matunda yaliyoiva.
2 Akaniuliza, “Amosi, unaona nini?”
3 Bwana Mwenyezi asema, “Katika siku ile, nyimbo katika Hekalu zitageuka kuwa maombolezo. Miili mingi, mingi sana: itatupwa kila mahali! Kimya!”
4 Lisikieni hili, ninyi ambao mnawagandamiza wahitaji,
5 mkisema,
6 mkiwanunua maskini kwa fedha,
7 Bwana ameapa kwake mwenyewe, aliye Kiburi cha Yakobo: “Kamwe sitasahau chochote ambacho wamefanya.
8 “Je, nchi haitatetemeka kwa ajili ya hili,
9 “Katika siku ile,” asema Bwana Mwenyezi,
10 Nitageuza sikukuu zenu za kidini kuwa maombolezo,
11 “Siku zinakuja,” asema Bwana Mwenyezi,
12 Wanaume watayumbayumba kutoka bahari hadi bahari
13 “Katika siku ile
14 Wale waapao kwa aibu ya Samaria,