1 Daudi alimwimbia Bwana maneno ya wimbo huu wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli.
2 Akasema:
3 Mungu wangu ni mwamba wangu,
4 Ninamwita Bwana, anayestahili kusifiwa,
5 “Mawimbi ya mauti yalinizunguka,
6 Kamba za kuzimu zilinizunguka,
7 Katika shida yangu nalimwita Bwana,
8 “Dunia ilitetemeka na kutikisika,
9 Moshi ukapanda kutoka puani mwake,
10 Akazipasua mbingu akashuka chini,
11 Alipanda juu ya kerubi akaruka,
12 Alifanya giza hema lake la kujifunika:
13 Kutokana na mwanga wa uwepo wake
14 Bwana alinguruma kutoka mbinguni,
15 Aliipiga mishale na kutawanya adui,
16 Mabonde ya bahari yalifunuliwa,
17 “Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika;
18 Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi,
19 Walinikabili siku ya msiba wangu,
20 Alinileta nje mahali penye nafasi tele,
21 “Bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu;
22 Kwa maana nimezishika njia za Bwana;
23 Sheria zake zote zi mbele yangu,
24 Nimekuwa sina hatia mbele zake,
25 Bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu,
26 “Kwa yeye aliye mwaminifu unajionyesha kuwa mwaminifu,
27 kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa mtakatifu,
28 Wewe huwaokoa wanyenyekevu,
29 Wewe ni taa yangu, Ee Bwana.
30 Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi,
31 “Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu;
32 Kwa maana ni nani aliye Mungu
33 Mungu ndiye anivikaye nguvu
34 Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu,
35 Huifundisha mikono yangu kupigana vita;
36 Hunipa ngao yako ya ushindi,
37 Huyapanua mapito yangu,
38 “Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta,
39 Niliwaseta kabisa, nao hawakuweza kuinuka tena;
40 Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita;
41 Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia,
42 Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa;
43 Niliwaponda kama mavumbi ya nchi;
44 “Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu wangu;
45 nao wageni huja wakininyenyekea,
46 Wote wanalegea,
47 “Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!
48 Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi,
49 aniwekaye huru toka kwa adui zangu.
50 Kwa hiyo nitakusifu, Ee Bwana,
51 Humpa mfalme wake ushindi mkuu;